Ndagoni (Mafia)

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Kata ya Ndagoni katikati ya Mafia (hapa bado pamoja na Baleni)

Ndagoni ni kata ya Wilaya ya Mafia katika Mkoa wa Pwani, Tanzania, yenye postikodi namba 61704.

Katika sensa ya mwaka 2022 wakazi walihesabiwa 7,296 [1]. Wakati wa sensa iliyofanyika mwaka wa 2012, kata ilikuwa na wakazi wapatao 4,959 [2] walioishi humo.

Kata iko katikati ya kisiwa cha Mafia; awali ilikuwa sehemu ya kata ya Baleni.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. https://www.nbs.go.tz/
  2. "Sensa ya 2012, Pwani - Mafia DC". Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2016-03-03. Iliwekwa mnamo 2016-06-13. 
Kata za Wilaya ya Mafia - Mkoa wa Pwani - Tanzania

BaleniJibondoKangaKiegeaniKirongweKilindoniMiburaniNdagoni


Makala hii kuhusu maeneo ya Mkoa wa Pwani bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Ndagoni (Mafia) kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
Tafadhali usiingize majina ya maafisa au viongozi wa sasa maana wanabadilika mno.