Kilindoni

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Kilindoni katika Mafia

Kilindoni ni kata ya Wilaya ya Mafia katika Mkoa wa Pwani, Tanzania, yenye postikodi namba 61701.

Katika sensa ya mwaka 2022 wakazi walihesabiwa 25,680 [1]. Wakati wa sensa iliyofanyika mwaka 2012, kata ilikuwa na wakazi wapatao 14,221 [2] na katika ile ya mwaka 2002 kata ilikuwa na wakazi 11,751 walioishi humo.

Kilindoni ni mji mkubwa zaidi kwenye kisiwa cha Mafia na ni makao makuu ya wilaya. Uko upande wa magharibi kusini mwa kisiwa.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. https://www.nbs.go.tz/
  2. "Sensa ya 2012, Pwani - Mafia DC". Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2004-01-02. Iliwekwa mnamo 2016-06-13. 
Kata za Wilaya ya Mafia - Mkoa wa Pwani - Tanzania

BaleniJibondoKangaKiegeaniKirongweKilindoniMiburaniNdagoni


Makala hii kuhusu maeneo ya Mkoa wa Pwani bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Kilindoni kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
Tafadhali usiingize majina ya maafisa au viongozi wa sasa maana wanabadilika mno.