Mwakijembe
Mwakijembe ni kata ya Wilaya ya Mkinga katika Mkoa wa Tanga, Tanzania. Kwa mujibu wa sensa iliyofanyika mwaka wa 2012, kata ina wakazi wapatao 6,515 [1] waishio humo. Msimbo wa posta ni 21521.
Ni kata yenye vijiji vinne, yaani Mkota, Mbuta, Perani na Mwakijembe ambacho ni kijiji kilichozaa jina la kata hii.
Imepakana na kata za Daluni, Duga, Parungu Kasera na upande mwingine imepakana na nchi ya Kenya.
Kata ina bahati ya kupitiwa na mto Umba.
Wakazi wa kata hii ni Wamasai, Waduruma, Wakamba na Wataita.
Shughuli kubwa zinazofanywa katika kata hii ni kuuza mkaa na kuchimba madini.
Marejeo[hariri | hariri chanzo]
- ↑ Sensa ya 2012, Tanga - Mkinga DC. Jalada kutoka ya awali juu ya 2016-03-03. Iliwekwa mnamo 2016-05-16.
![]() |
Makala hii kuhusu maeneo ya Mkoa wa Tanga bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Mwakijembe kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. Tafadhali usiingize majina ya maafisa au viongozi wa sasa maana wanabadilika mno. |
![]() |
Kata za Wilaya ya Mkinga - Mkoa wa Tanga - Tanzania |
![]() |
---|---|---|
Boma | Bosha | Bwiti | Daluni | Doda | Duga | Gombero | Kigongoi Magharibi | Kigongoi Mashariki | Kwale | Manza | Mapatano | Maramba | Mayomboni | Mhinduro | Mkinga | Mnyenzani | Moa | Mtimbwani | Mwakijembe | Parungu Kasera | Sigaya |