Mto Nambwa (Manafwa)

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Mto Nambwa (Manafwa) unapatikana katika wilaya ya Manafwa, mashariki mwa Uganda.

Maji yake yanaishia katika mto Naili na hatimaye katika Bahari ya Kati.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]