Mto Kafu (Uganda magharibi)

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mito na maziwa ya Uganda.

Mto Kafu (pia: Kabi) unapatikana magharibi mwa Uganda (wilaya ya Kibaale, wilaya ya Hoima, wilaya ya Kyankwanzi, wilaya ya Nakaseke, wilaya ya Nakasongola na Wilaya ya Masindi).

Unaingia katika Nile ya Viktoria.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]