Mtibwa Sugar F.C.

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mtibwa Sugar F.C.
Rangi nyumbani

Mtibwa Sugar Football Club ni klabu ya mpira wa miguu ya Tanzania iliyoko Turiani katika mkoa wa Morogoro inayoshiriki Ligi Kuu Tanzania Bara. Mechi zao za nyumbani zinachezwa kwenye uwanja wa Manungu.

Historia[hariri | hariri chanzo]

Mtibwa Sugar Sports Club ilianzishwa mwaka 1988 na kundi la wafanyakazi wa Mtibwa Sugar Estates Ltd. ambayo iliamua kuunda timu ya mpira wa miguu ambayo ilianza kushiriki katika mashindano ya ligi katika ngazi ya wilaya.

Timu hiyo ilianza kucheza katika ligi daraja la nne mwaka 1989 na ilipandishwa hadi katika ligi daraja la kwanza mwaka 1996. Hatimaye mwaka 1998, ligi hiyo ilirekebishwa na kuwa Ligi Kuu.

Mafanikio[hariri | hariri chanzo]

1999, 2000.
2018.

Matokeo katika ligi ya CAF[hariri | hariri chanzo]

2004 – Hatua ya kwanza
2000 – Hatua ya pili
2001 – Hatua ya kwanza
2002 – Hatua ya pili

Kikosi cha sasa[hariri | hariri chanzo]

Note: Flags indicate national team as has been defined under FIFA eligibility rules. Players may hold more than one non-FIFA nationality.

Na. Nafasi Mchezaji
- Tanzania GK Shaban Kado
- Tanzania GK Benadictor Tinoko
- Tanzania DF Dickson Daudi
- Tanzania DF Cassian Ponera
- Tanzania DF Hassan Isihaka
- Tanzania DF Salum Kanoni
- Tanzania DF Issa Rashid
- Tanzania GK Abdallah Makangana
- Tanzania DF Rodgers Gabriel
- Tanzania MF Shaban Nditi
Na. Nafasi Mchezaji
- Tanzania MF Saleh Khamis Abdallah
- Tanzania FW Kelvin Sabato "Kevy Kiduku"
- Tanzania FW Haruna Chanongo
- Tanzania Salum Kihimbwa
- Tanzania FW Stamil Mbonde
- Tanzania FW Vicent Barnabas


Makala hii kuhusu mambo ya michezo bado ni mbegu.
Je, unajua kitu zaidi kuhusu Mtibwa Sugar F.C. kama historia yake, uenezi au kanuni zake?
Labda unaona katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine habari zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.