Mpopoo
Mandhari
| Mpopoo (Areca catechu) | ||||||||||||||||
|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|
| Uainishaji wa kisayansi | ||||||||||||||||
|
Mpopoo (Areca catechu, betelpalm) ni mti unaozaa popoo. Kokwa hii huliwa sana huko Asia ya Kusini na Kusini-Mashariki na pia katika nchi kadhaa za Afrika ya Mashariki zenye idadi kubwa za Wahindi. Jenasi Areca ni jenasi-mfano ya familia Arecaceae.
Picha
[hariri | hariri chanzo]- Matunda mabichi
- Tunda lililoiva
- Popoo