Mkekundu

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mkekundu
Vishungi vya mikekundu
Vishungi vya mikekundu
Uainishaji wa kisayansi
Himaya: Plantae (Mimea)
(bila tabaka): Angiospermae (Mimea inayotoa maua)
(bila tabaka): Monocots (Mimea ambayo mche wao una jani moja)
(bila tabaka): Commelinids (Mimea kama jaja)
Oda: Poales (Mimea kama manyasi)
Familia: Poaceae (Manyasi)
Nusufamilia: Chloridoideae
Jenasi: Chloris
Spishi: C. gayana
Kunth

Mkekundu (Chloris gayana) ni spishi ya nyasi katika nusufamilia Chloridoideae. Nyasi hii huishi miaka kadhaa na inaweza kufika urefu wa m 3. Inaweza kumea katika maeneo makavu kiasi (mm 600-750 ya mvua kwa mwaka). Kwa sababu haichuani na mimea ya shambani, inaweza kupandwa katikati yao bila kuathiri mazao na pia ni lishe bora ya wanyama wafugwao.

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Picha[hariri | hariri chanzo]