Mdengu

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mdengu
(Lens culinaris)
Midengu inayobeba makaka
Midengu inayobeba makaka
Uainishaji wa kisayansi
Himaya: Planta (mimea)
(bila tabaka): Angiospermae (Mimea inayotoa maua)
(bila tabaka): Eudicots (Mimea ambayo mche wao una majani mawili)
(bila tabaka): Rosids (Mimea kama mwaridi)
Oda: Fabales (Mimea kama mharagwe)
Familia: Fabaceae (Mimea iliyo na mnasaba na mharagwe)
Jenasi: Lens
Mill.
Spishi: L. culinaris
Medik.

Mdengu (Lens culinaris) ni jina la mmea katika familia Fabaceae unaozaa dengu (pia adesi), mbegu zake ambazo zimo mbili mbili ndani ya makaka. Jina la jenasi linatoka kwa umbo wa mbegu unaofanana na lenzi mbinuko.

Picha[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu mmea fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mdengu kama uainishaji wake wa kibiolojia, uenezi au matumizi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.