Mdalasini
Mandhari
| Mdalasini | ||||||||||||
|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|
Mdalasini wa kweli Cinnamomum verum | ||||||||||||
| Uainishaji wa kisayansi | ||||||||||||
| ||||||||||||
| Ngazi za chini | ||||||||||||
|
Spishi 6: |
Midalasini ni miti mikubwa kiasi ya jenasi Cinnamomum katika familia Lauraceae ambayo gome lao hutumika kama kiungo kinachoitwa dalasini. Jenasi Cinnamomum ina spishi zaidi ya 300 lakini gome la spishi 6 tu huuzwa kama dalasini.
Spishi
[hariri | hariri chanzo]- Cinnamomum burmanni, Mdalasini wa Indonesia
- Cinnamomum cassia, Mdalasini wa Uchina
- Cinnamomum citriodorum, Mdalasini wa Malabar
- Cinnamomum loureiroi, Mdalasini wa Saigon
- Cinnamomum tamala, Mdalasini wa Uhindi
- Cinnamomum verum, Mdalasini wa Kweli au wa Sri Lanka
Picha
[hariri | hariri chanzo]- Mdalasini wa Uhindi
- Maua ya mdalasini wa Indonesia
- ”Vijiti” (magome) vya dalasini, unga na maua yaliyokauka ya mdalasini wa kweli
- ”Vijiti” vya mdalasini wa Uchina