Mdalasini

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mdalasini
Mdalasini wa kweli Cinnamomum verum
Mdalasini wa kweli
Cinnamomum verum
Uainishaji wa kisayansi
Himaya: Plantae (Mimea)
(bila tabaka): Angiospermae (Mimea inayotoa maua)
(bila tabaka): Magnoliids (Mimea ambayo maua yao yana mizingo ya tepali tatu na chavua yenye kitundu kimoja)
Oda: Laurales (Mimea kama mparachichi)
Familia: Lauraceae (Mimea iliyo na mnasaba na mparachichi)
Jenasi: Cinnamomum
Schaeff.
Ngazi za chini

Spishi 6:
C. burmanni (Nees & T.Nees) Blume
C. cassia (L.) J.Presl
C. citriodorum Thwait.
C. loureiroi Nees
C. tamala (Buch.-Ham.) Nees & Eberm.
C. verum J.Presl

Midalasini ni miti mikubwa kiasi ya jenasi Cinnamomum katika familia Lauraceae ambayo gome lao hutumika kama kiungo kinachoitwa dalasini. Jenasi Cinnamomum ina spishi zaidi ya 300 lakini gome la spishi 6 tu huuzwa kama dalasini.

Spishi[hariri | hariri chanzo]

Picha[hariri | hariri chanzo]