Mchaichai

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mchaichai
Mchaichai wa kawaida (Cymbopogon citratus)
Mchaichai wa kawaida (Cymbopogon citratus)
Uainishaji wa kisayansi
Himaya: Plantae (Mimea)
(bila tabaka): Angiospermae (Mimea inayotoa maua)
(bila tabaka): Monocots (Mimea ambayo mche wao una jani moja)
(bila tabaka): Commelinids (Mimea kama jaja)
Oda: Poales (Mimea kama manyasi)
Familia: Poaceae (Manyasi)
Nusufamilia: Andropogoneae
Jenasi: Cymbopogon
Ngazi za chini

Spishi 11 katika Afrika:

Mchaichai (pia: mzumari; jina la kisayansi: Cymbopogon spp.) ni jina la nyasi za nusufamilia Andropogoneae.

Majani yake yana harufu na ladha ya limau, kwa hiyo hunywewa kama chai, yakiwa peke yake au kama mchanganyiko na majani ya chai. Lakini spishi kadhaa, kama mchaichai fukuza-mbu, hazinyweka.

Jenasi hii ina spishi nyingi ambazo 11 zinatokea Afrika.

Spishi za Afrika[hariri | hariri chanzo]

Spishi za Asia[hariri | hariri chanzo]

  • Cymbopogon ambiguus (Australian lemon-scented grass)
  • Cymbopogon annamensis
  • Cymbopogon bhutanicus
  • Cymbopogon bombycinus
  • Cymbopogon calcicola
  • Cymbopogon calciphilus
  • Cymbopogon cambogiensis
  • Cymbopogon clandestinus
  • Cymbopogon coloratus
  • Cymbopogon dependens
  • Cymbopogon distans
  • Cymbopogon exsertus
  • Cymbopogon flexuosus (East Indian lemon grass)
  • Cymbopogon gidarba
  • Cymbopogon globosus
  • Cymbopogon goeringii
  • Cymbopogon gratus
  • Cymbopogon jwarancusa
  • Cymbopogon khasianus
  • Cymbopogon liangshanensis
  • Cymbopogon mandalaiaensis
  • Cymbopogon martinii (Palmarosa)
  • Cymbopogon mekongensis
  • Cymbopogon microstachys
  • Cymbopogon minor
  • Cymbopogon minutiflorus
  • Cymbopogon nervatus
  • Cymbopogon obtectus
  • Cymbopogon osmastonii
  • Cymbopogon pendulus
  • Cymbopogon polyneuros
  • Cymbopogon procerus
  • Cymbopogon pruinosus
  • Cymbopogon queenslandicus
  • Cymbopogon quinhonensis
  • Cymbopogon rectus
  • Cymbopogon refractus (Barbed wire grass)
  • Cymbopogon tortilis
  • Cymbopogon tungmaiensis
  • Cymbopogon winterianus
  • Cymbopogon xichangensis

Picha[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu mmea fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mchaichai kama uainishaji wake wa kibiolojia, uenezi au matumizi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.