Ladha
Ladha ni jumla ya hisi zinazopatikana kinywani wakati unapoonja kitu.
Kwa mfano, unaweza kusikia utamu, uchungu, ukali wa chakula au kinywaji fulani ukapendezwa au kutopendenza nao.
Kiungo kinachohusika zaidi ni ulimi.
![]() |
Makala hii kuhusu mambo ya biolojia bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Ladha kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |