Martino wa Saujon

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Martino wa Saujon (alifariki Saujon, Akwitania Mpya, leo nchini Ufaransa, karne ya 5) alikuwa mmonaki padri anayetajwa kama abati wa monasteri[1].

Inasemekana alikuwa mfuasi wa Martino wa Tours; huyo alipofariki dunia, mwanafunzi wake alikwenda kuanzisha monasteri kwake[2].

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 8 Mei[3].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.