Marko II wa Aleksandria
Mandhari
Marko II wa Aleksandria (karne ya 8 - 17 Aprili 819) kuanzia tarehe 26 Januari 799 hadi kifo chake alikuwa Patriarki wa Aleksandria (Misri) na Papa wa 49 wa Kanisa la Kikopti ambalo linamheshimu kama mtakatifu.
Chini yake farakano la Wabarsanufi lilikwisha.
Tazama pia
[hariri | hariri chanzo]Tanbihi
[hariri | hariri chanzo]Marejeo
[hariri | hariri chanzo]- Mikhail, Maged S. A. (2014). From Byzantine to Islamic Egypt: Religion, Identity and Politics after the Arab Conquest. I. B. Tauris.
- Stewart, Randall (1991). "Barsanuphians". Katika Aziz Suryal Atiya (mhr.). The Coptic Encyclopedia. Juz. la 2. New York: Macmillan Publishers. cols. 347b–348a.
- Swanson, Mark N. (2010). The Coptic Papacy in Islamic Egypt (641–1517). American University in Cairo Press.
| Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |