Wamaroni : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
Addbot (majadiliano | michango)
d Bot: Migrating 2 interwiki links, now provided by Wikidata on d:q11624894 (translate me)
Wikidata
Mstari 5: Mstari 5:


[[Jamii:Lebanoni]]
[[Jamii:Lebanoni]]

[[tr:Maruniler]]

Pitio la 03:48, 11 Agosti 2014

Kanisa kuu la Kimaroni la Alep (Syria).

Wamaroni ni sehemu kubwa mojawapo ya watu wa Lebanoni.

Kinachowatambulisha zaidi, pamoja na historia yao, ni imani ya Kikristo katika Kanisa la Wamaroni, ambalo lina ushirika kamili na Papa wa Roma na Kanisa Katoliki lote duniani.