Wamaroni

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Kanisa kuu la Kimaroni la Alep (Syria).

Wamaroni ni sehemu kubwa mojawapo ya watu wa Lebanoni, lakini siku hizi wengi zaidi wanaishi nje ya nchi hiyo asili.

Kinachowatambulisha zaidi, pamoja na historia yao, ni imani ya Kikristo katika Kanisa la Wamaroni, ambalo lina ushirika kamili na Papa wa Roma na Kanisa Katoliki lote duniani, ingawa linafuata mapokeo ya Antiokia.

Wanakadiriwa kuwa 3,500,000[1].

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu Kanisa Katoliki bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Wamaroni kama historia yake au maelezo zaidi?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.