Wakarmeli Peku : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d r2.7.2+) (Boti: Inarbadilisha it:Ordine dei Carmelitani Scalzi hadi it:Carmelitani scalzi
Legobot (majadiliano | michango)
d Bot: Migrating 18 interwiki links, now provided by Wikidata on d:q1135659 (translate me)
Mstari 36: Mstari 36:
[[Category:Wakarmeli]]
[[Category:Wakarmeli]]
[[Category:Mashirika ya kitawa]]
[[Category:Mashirika ya kitawa]]

[[ca:Carmelites descalços]]
[[cs:Řád bosých karmelitánů]]
[[de:Unbeschuhte Karmeliten]]
[[en:Discalced Carmelites]]
[[es:Orden de Carmelitas Descalzos]]
[[fa:کرملی‌های پابرهنه]]
[[fr:Ordre des Carmes déchaux]]
[[it:Carmelitani scalzi]]
[[la:Ordo Carmelitarum Discalceatorum]]
[[no:De uskodde karmelittene]]
[[pl:Karmelici bosi]]
[[pt:Ordem dos Carmelitas Descalços]]
[[ro:Carmeliți desculți]]
[[ru:Орден босых кармелитов]]
[[sk:Bosí karmelitáni]]
[[sr:Bosonoge karmelićanke]]
[[sv:Oskodda karmeliter]]
[[th:คณะคาร์เมไลท์ไม่สวมรองเท้า]]

Pitio la 16:20, 11 Machi 2013

Nembo ya shirika.

Wakarmeli Peku (kwa Kilatini Ordo Fratrum Discalceatorum B. Mariae V. de Monte Carmelo, kifupi O.C.D.) ni watawa wa Kanisa Katoliki wanaofuata urekebisho wa shirika la Wakarmeli ulioanzishwa na Teresa wa Yesu katika karne ya 16 huko Hispania. Upande wa wanaume alisaidiwa na Yohane wa Msalaba.

Mbali ya waanzilishi hao wawili, shirika lilizaa mwalimu wa Kanisa mwingine, Teresa wa Mtoto Yesu katika karne ya 19.

Kwa jumla hao watatu wanatazamwa kuwa viongozi bora kuhusu kuzama katika sala na maisha ya kiroho kwa jumla.

Pia shirika lilizaa watakatifu na wenye heri wengi.

Mwishoni mwa mwaka 2005 shirika lilikuwa na nyumba 572 zenye watawa 4067, (kati yao mapadri 2655).[1]

Picha

Tanbihi

  1. Annuario Pontificio per l'anno 2007, Città del Vaticano, 2007, p. 1467

Viungo vya nje