Chui (Pantherinae) : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
Spishi mpya na masahihisho ya majina
d r2.6.5) (roboti Nyongeza: lv:Panteru apakšdzimta
Mstari 79: Mstari 79:
[[lb:Grousskazen]]
[[lb:Grousskazen]]
[[lt:Didžiosios katės]]
[[lt:Didžiosios katės]]
[[lv:Panteru apakšdzimta]]
[[mk:Pantherinae]]
[[mk:Pantherinae]]
[[no:Store kattedyr]]
[[no:Store kattedyr]]

Pitio la 20:35, 29 Machi 2011

Chui
Chui-theluji
Chui-theluji
Uainishaji wa kisayansi
Himaya: Animalia (Wanyama)
Faila: Chordata (Wanyama wenye ugwe wa neva mgongoni)
Ngeli: Mammalia (Wanyama wenye viwele wanaonyonyesha wadogo wao)
Oda: Carnivora (Wanyama mbuai)
Nusuoda: Feliformia (Wanyama kama paka)
Familia: Felidae (Wanyama walio na mnasaba na paka)
Nusufamilia: Pantherinae (Wanyama wanaofanana na chui)
Ngazi za chini

Jenasi 2:

Chui ni wanyama mbuai wakubwa wa nusufamilia Pantherinae katika familia Felidae. Isipokuwa spishi moja (simba), wanyama hawa wana madoa au milia. Spishi nyingi zinatokea misitu au maeneo mengine yenye miti katika Afrika, Asia na Amerika, nyingine zinatokea savana na hata milima.

Spishi za Afrika

Spishi za mabara mengine

Picha