Yohane IV : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
marekebisho ya tarehe, na +jamii
Uhabeshi --> Ethiopia
Mstari 5: Mstari 5:
[[Category:Waliozaliwa 1831]]
[[Category:Waliozaliwa 1831]]
[[Category:Waliofariki 1889]]
[[Category:Waliofariki 1889]]
[[Category:Wafalme wa Uhabeshi]]
[[Category:Wafalme wa Ethiopia]]


[[am:ንጉሠ-ነግስት ዮሐንስ አራተኛ]]
[[am:ንጉሠ-ነግስት ዮሐንስ አራተኛ]]

Pitio la 20:14, 15 Machi 2007

Yohane IV

Yohannes IV (* 1831 kwa jina la Dejazmach Kassay; † 10 Machi 1889 Metemma, Sudan) alikuwa Ras wa Tigray na Kaisari wa Ethiopia kati ya 18721889. Alimfuata Tewodros II akifaulu kutawala juu ya majimbo yote ya Ethiopia.

1876 aliweza kuzuia mashambulio ya Misri dhidi ya Ethiopia.
Aliuawa katika mapigano ya Metemna dhidi ya jeshi la Al-Mahdi tar. 10 Machi 1889. Kichwa chake kilikatwa na kuonyeshwa baadaye Omdurman.