Nicholas Butler : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d roboti Nyongeza: nl:Nicholas Murray Butler
mbegu-mtu
Mstari 9: Mstari 9:
[[Category:Tuzo ya Nobel ya Amani]]
[[Category:Tuzo ya Nobel ya Amani]]


{{mbegu}}
{{mbegu-mtu}}


[[ar:نيكولاس موارى بتلر]]
[[ar:نيكولاس موارى بتلر]]

Pitio la 16:43, 15 Juni 2009

Nicholas Murray Butler (2 Aprili, 18627 Desemba, 1947) alikuwa mwanasiasa kutoka nchi ya Marekani. Alikuwa mwenyekiti wa Chuo Kikuu cha Columbia, na alijitahidi hasa upande wa elimu ya kimataifa. Mwaka wa 1931, pamoja na Jane Addams alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Amani.

Makala hii kuhusu mtu huyo bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Nicholas Butler kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.