Ndoa (sakramenti) : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
No edit summary
No edit summary
Mstari 1: Mstari 1:
{{Sakramenti}}
[[Picha:Bologna marriage.jpg|thumb|right|300px]]
[[Picha:Bologna marriage.jpg|thumb|left|200px]]


'''Ndoa''' kati ya [[Ubatizo|wabatizwa]] wawili inahesabiwa na [[Kanisa Katoliki]] na [[Waorthodoksi]] kama mojawapo kati ya [[sakramenti]] saba zilizowekwa na [[Yesu Kristo]].
'''Ndoa''' kati ya [[Ubatizo|wabatizwa]] wawili inahesabiwa na [[Kanisa Katoliki]] na [[Waorthodoksi]] kama mojawapo kati ya [[sakramenti]] saba zilizowekwa na [[Yesu Kristo]].


Pamoja na [[Daraja takatifu]] ni kati ya sakramenti mbili za kuhudumia [[ushirika]].
Ni muungano usiovunjika mpaka kufa kati ya mwanamume mmoja na mwanamke mmoja waliobatizwa, unaofanyika kwa makubaliano yao ya hiari ambayo yanathibitishwa na Mungu anayewatia neema zinazohitajika waweze kutimiza malengo ya ndoa.


==Fumbo la ndoa==
''"Basi aliowaunganisha Mungu, mwanadamu asiwatenganishe."'' ([[Injili ya Mathayo]] 19:6).
Muungano usiovunjika mpaka kufa kati ya mwanamume mmoja na mwanamke mmoja waliobatizwa, ambao unafanyika kwa makubaliano yao ya hiari ambayo yanathibitishwa na Mungu anayewatia neema zinazohitajika waweze kutimiza malengo ya ndoa, ni ishara ya muungano wa kiarusi wa [[Yesu]] na [[Kanisa]].


"Basi aliowaunganisha Mungu, mwanadamu asiwatenganishe." ([[Injili ya Mathayo]] 19:6).

==Adhimisho la sakramenti ya ndoa==
Kwa kawaida Wakatoliki wanaiadhimisha wakati wa [[Misa]], karamu ya arusi ya [[Mwanakondoo]] na [[Kanisa]], lakini wanakubali katika mazingira ya pekee iweze kufungwa na wanaarusi mbele ya mashahidi wawili hata bila ya kuwepo [[kasisi|padri]] .
Kwa kawaida Wakatoliki wanaiadhimisha wakati wa [[Misa]], karamu ya arusi ya [[Mwanakondoo]] na [[Kanisa]], lakini wanakubali katika mazingira ya pekee iweze kufungwa na wanaarusi mbele ya mashahidi wawili hata bila ya kuwepo [[kasisi|padri]] .


Kumbe Waorthodoksi wanahesabu [[baraka]] ya padri kuwa sehemu ya lazima ya sakramenti, ambayo wanaarusi wanapewa.
Kumbe Waorthodoksi wanahesabu [[baraka]] ya padri kuwa sehemu ya lazima ya sakramenti, ambayo wanaarusi wanapewa.

Pamoja na [[Daraja takatifu]] ni kati ya sakramenti mbili za kuhudumia [[ushirika]].


==Kubariki ndoa kwa Waprotestanti==
==Kubariki ndoa kwa Waprotestanti==
[[Waprotestanti]] hawakubali ndoa kuwa sakramenti; [[Martin Luther]] aliona sakramenti sharti iwe alama iliyowekwa na Yesu Kristo mwenyewe, lakini ndoa ni sehemu ya utaratibu wa [[uumbaji]] uliotangulia kuja kwa Kristo.
[[Martin Luther]] aliona sakramenti sharti iwe alama iliyowekwa na Yesu Kristo mwenyewe, lakini [[ndoa]] ni sehemu ya utaratibu wa [[uumbaji]] uliotangulia kuja kwa [[Yesu]].


Kwa hiyo Waprotestanti wanabariki ndoa iliyofungwa kufuatana na sheria za dola.
Kwa sababu hiyohiyo [[Waprotestanti]] wengi hawakubali ndoa kuwa sakramenti na wanabariki tu ndoa iliyofungwa kufuatana na [[sheria]] za [[dola]].


==Viungo vya nje==
==Viungo vya nje==
*[http://www.vatican.va/holy_father/leo_xiii/encyclicals/documents/hf_l-xiii_enc_10021880_arcanum_en.html ''Arcanum''] Barua ya [[Papa Leo XIII]] kuhusu Ndoa ya Kikristo
*[http://www.vatican.va/holy_father/leo_xiii/encyclicals/documents/hf_l-xiii_enc_10021880_arcanum_en.html ''Arcanum''] Barua ya [[Papa Leo XIII]] kuhusu Ndoa ya Kikristo
* {{CathEncy|wstitle=Sacrament of Marriage}}


[[Jamii:Liturujia]]
[[Jamii:Liturujia]]

Pitio la 09:20, 18 Januari 2009

Sakramenti za Wakatoliki na Waorthodoksi

Ndoa kati ya wabatizwa wawili inahesabiwa na Kanisa Katoliki na Waorthodoksi kama mojawapo kati ya sakramenti saba zilizowekwa na Yesu Kristo.

Pamoja na Daraja takatifu ni kati ya sakramenti mbili za kuhudumia ushirika.

Fumbo la ndoa

Muungano usiovunjika mpaka kufa kati ya mwanamume mmoja na mwanamke mmoja waliobatizwa, ambao unafanyika kwa makubaliano yao ya hiari ambayo yanathibitishwa na Mungu anayewatia neema zinazohitajika waweze kutimiza malengo ya ndoa, ni ishara ya muungano wa kiarusi wa Yesu na Kanisa.

"Basi aliowaunganisha Mungu, mwanadamu asiwatenganishe." (Injili ya Mathayo 19:6).

Adhimisho la sakramenti ya ndoa

Kwa kawaida Wakatoliki wanaiadhimisha wakati wa Misa, karamu ya arusi ya Mwanakondoo na Kanisa, lakini wanakubali katika mazingira ya pekee iweze kufungwa na wanaarusi mbele ya mashahidi wawili hata bila ya kuwepo padri .

Kumbe Waorthodoksi wanahesabu baraka ya padri kuwa sehemu ya lazima ya sakramenti, ambayo wanaarusi wanapewa.

Kubariki ndoa kwa Waprotestanti

Martin Luther aliona sakramenti sharti iwe alama iliyowekwa na Yesu Kristo mwenyewe, lakini ndoa ni sehemu ya utaratibu wa uumbaji uliotangulia kuja kwa Yesu.

Kwa sababu hiyohiyo Waprotestanti wengi hawakubali ndoa kuwa sakramenti na wanabariki tu ndoa iliyofungwa kufuatana na sheria za dola.

Viungo vya nje