Bunduki : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
kuhusu kasiba, mpangilio
No edit summary
 
Mstari 2: Mstari 2:
[[Picha:Armas Infantería EA.JPG|thumb|Aina mbalimbali za bunduki]]
[[Picha:Armas Infantería EA.JPG|thumb|Aina mbalimbali za bunduki]]
[[File:TKB-059.jpg|thumb|[[TKB-059]].]]
[[File:TKB-059.jpg|thumb|[[TKB-059]].]]
'''Bunduki''' ni [[silaha]] inayorusha [[risasi]] dhidi ya shabaha yake. Ndani ya bunduki inatokea mlipuko wa [[baruti]] na [[gesi]] joto za mlipuko zinasukuma risasi kuelekea mwelekeo wa [[kasiba]] yake. Kutokana na sifa hii huitwa pia [[silaha ya moto]]. Kasiba ya bunduki za kisasa huwa na mifuo ndani yake inayosababisha risasi kuzunguka; inaendelea kuzunguka baada ya kutoka nje ya kasiba na mwendo huu unatunza mwelekeo wake. Kipenyo cha risasi ni sawa na kipenyo cha ndani cha kasiba hivyo risasi inagusa kasiba wakati wa kufyatuliwa.
'''Bunduki''' ni [[silaha]] inayorusha [[risasi]] dhidi ya shabaha yake. Ndani ya bunduki inatokea mlipuko wa [[baruti]] na [[gesi]] joto za mlipuko zinasukuma risasi kufuata mwelekeo wa [[kasiba]] yake. Kutokana na sifa hii huitwa pia [[silaha ya moto]]. Kasiba ya bunduki za kisasa huwa na mifuo ndani yake inayosababisha risasi kuzunguka; inaendelea kuzunguka baada ya kutoka nje ya kasiba na mwendo huu unatunza mwelekeo wake. Kipenyo cha risasi ni sawa na kipenyo cha ndani cha kasiba hivyo risasi inagusa kasiba wakati wa kufyatuliwa.


Bunduki ya kisasa huwa na akiba ya [[ramia]] katika [[chemba]] yake isipokuwa silaha kadhaa za kuwinda. Silaha za kijeshi huwa na chemba zonazoshika risasi zaidi ya 100.
Bunduki ya kisasa huwa na akiba ya [[ramia]] katika [[chemba]] yake isipokuwa silaha kadhaa za kuwinda. Silaha za kijeshi huwa na chemba zonazoshika risasi zaidi ya 100.


== Aina za bunduki ==
== Aina za bunduki ==
Kwa kawaida neno "bunduki" linataja [[silaha za moto]] zenye kasiba ndefu zinazoshikwa mkononi.
Kwa kawaida neno "bunduki" linataja [[silaha za moto]] zenye kasiba ndefu zinazoshikwa mikononi.
* [[Gobori]] ni mtangulizi wa bunduki ambalo risasi na baruti zinaingizwa kupitia mdomo wake katika kasiba. Kasiba yake ni nyororo, haina mifuo. Kwa hiyo haiwezi kulenga kwa umakini. Inapiga mara moja tu halafu ni lazima kuijaza upya. Aina hii ni silaha ya kihistoria lakini hupatikana pia kama silaha inayotengenezwa nyumbani.

* [[Gobori]] ni mtangulizi wa bunduki ambako risasi na baruti zinaingizwa kupitia mdomo wake katika kasiba. Kasiba yake ni nyororo, haina mifuo. Kwa hiyo haiwezi kulenga kwa umakini. Inapiga mara moja tu halafu ni lazima kuijaza upya. Aina hii ni silaha ya kihistoria lakini hupatikana pia kama silaha inayotengenezwa nyumbani.

* Bunduki kubwa zaidi zinazosimama kwa magurudumu huitwa [[mzinga]].
* Bunduki kubwa zaidi zinazosimama kwa magurudumu huitwa [[mzinga]].
* Bunduki ndogo yenye kasiba fupi ni [[bastola]].
* Bunduki ndogo yenye kasiba fupi ni [[bastola]].
Mstari 18: Mstari 16:
* [[Bunduki ya marisau]] hutumiwa kwa kuwinda wanyama ikifyatua risasi nyingi ndogondogo. Ni rahisi zaidi kushika shabaha lakini haipigi mbali.
* [[Bunduki ya marisau]] hutumiwa kwa kuwinda wanyama ikifyatua risasi nyingi ndogondogo. Ni rahisi zaidi kushika shabaha lakini haipigi mbali.


==Viungo vya nje==
{{commonscat|Projectile weapons|Bunduki}}
{{commonscat|Projectile weapons|Bunduki}}
{{tech-stub}}

[[Jamii:Silaha]]
[[Jamii:Silaha]]

Toleo la sasa la 11:00, 23 Septemba 2021

Askari na bunduki
Aina mbalimbali za bunduki
TKB-059.

Bunduki ni silaha inayorusha risasi dhidi ya shabaha yake. Ndani ya bunduki inatokea mlipuko wa baruti na gesi joto za mlipuko zinasukuma risasi kufuata mwelekeo wa kasiba yake. Kutokana na sifa hii huitwa pia silaha ya moto. Kasiba ya bunduki za kisasa huwa na mifuo ndani yake inayosababisha risasi kuzunguka; inaendelea kuzunguka baada ya kutoka nje ya kasiba na mwendo huu unatunza mwelekeo wake. Kipenyo cha risasi ni sawa na kipenyo cha ndani cha kasiba hivyo risasi inagusa kasiba wakati wa kufyatuliwa.

Bunduki ya kisasa huwa na akiba ya ramia katika chemba yake isipokuwa silaha kadhaa za kuwinda. Silaha za kijeshi huwa na chemba zonazoshika risasi zaidi ya 100.

Aina za bunduki[hariri | hariri chanzo]

Kwa kawaida neno "bunduki" linataja silaha za moto zenye kasiba ndefu zinazoshikwa mikononi.

  • Gobori ni mtangulizi wa bunduki ambalo risasi na baruti zinaingizwa kupitia mdomo wake katika kasiba. Kasiba yake ni nyororo, haina mifuo. Kwa hiyo haiwezi kulenga kwa umakini. Inapiga mara moja tu halafu ni lazima kuijaza upya. Aina hii ni silaha ya kihistoria lakini hupatikana pia kama silaha inayotengenezwa nyumbani.
  • Bunduki kubwa zaidi zinazosimama kwa magurudumu huitwa mzinga.
  • Bunduki ndogo yenye kasiba fupi ni bastola.
  • Bunduki kubwa kiasi inayofyatua risasi nyingi wakati moja ni bombomu (au: mzinga wa bombom; bunduki ya mtombo; bunduki ya rashasha).
  • Aina hii kama ndogo zaidi ni bunduki ya nusu mtombo.
  • Bunduki ya upepo inayotumia nguvu ya gesi yenye shinikizo bila mlipuko. Silaha ndogo ya aina hii inapata shinikizo kwa kukandamiza hewa katika chemba cha bunduki. Aina zenye nguvu zinatumia ramia isiyo na baruti bali na gesi iliyokandamizwa ndani yake. Faida yake ni hazina kelele kubwa.
  • Bunduki ya marisau hutumiwa kwa kuwinda wanyama ikifyatua risasi nyingi ndogondogo. Ni rahisi zaidi kushika shabaha lakini haipigi mbali.

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Makala hii kuhusu mambo ya teknolojia bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu mada hiyo kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.