Karibi : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
+image #WPWP #WPWPTZ |
d Masahihisho aliyefanya Godson18 (Majadiliano) yalirejeshwa hadi sahihisho la mwisho na Mr Accountable Tag: Rollback |
||
Mstari 1: | Mstari 1: | ||
[[Picha:Karibib aerial view.jpg|thumbnail|right|280px|Mji wa Karibi]] |
|||
'''Karibi''' ni neno la kutaja |
'''Karibi''' ni neno la kutaja |
||
Toleo la sasa la 08:12, 20 Julai 2020
Karibi ni neno la kutaja
- Wakaribi walikokuwa wenyeji wa visiwa upande wa mashariki ya Amerika ya Kati wakati wa kufika kwa Kristoforo Kolumbus
- Bahari ya Karibi ni bahari ya pembeni ya Atlantiki mbele ya mwambao wa Amerika ya Kati
- Visiwa vya Karibi ni jina la kutaja funguvisiwa na visiwa mbalimbali -jumla ni takriban 7.000- katika Bahari ya Karibi kama vile Barbados, Kuba, Hispaniola, Jamaika, Trinidad, Antili Ndogo