Wakaribi

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Bendera ya Karibi
Bendera ya Karibi

Wakaribi ni watu waliozaliwa au wakazi wa kanda ya Karibi au watu wa asili ya Karibi wanaoishi nje ya Karibi.

Kanda ya Karibi ilikuwa mwanzoni mwa Waindio kutoka kwa makabila mbalimbali ya Carib na Arawak. Vikundi hivi viliharibiwa na mchanganyiko wa utumwa na ugonjwa ulioletwa na wakoloni wa Ulaya.

Wazawa wa Arawak na makabila ya Carib wapo mpaka hivi leo huko Karibi na mahali pengine lakini kwa kawaida huwa wa asili ya Kiamerindia.