Catherine Valentine Magige : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
No edit summary |
||
Mstari 1: | Mstari 1: | ||
'''Catherine Valentine Magige''' alizaliwa |
'''Catherine Valentine Magige''' (alizaliwa [[Mkoa wa Arusha|mkoani Arusha]] [[8 Mei]] [[1981]]) ni [[mwanasiasa]] [[Mtanzania]] na mwanachama wa [[chama cha kisiasa]] cha [[CCM]]. Amechaguliwa kuwa [[Wabunge wa Tanzania 2015|mbunge]] wa [[Viti maalum vya wanawake]] kwa miaka mitano ([[2015]] – [[2020]] <ref>[http://www.parliament.go.tz/administrations/ Tovuti ya Bunge la Tanzania], iliangaliwa Mei 2017</ref>) |
||
== |
==Maisha== |
||
Alipata elimu yake ya msingi katika shule ya msingi Kimandolu kuanzia 1989-1995 na elimu ya sekondari katika shule wa wasichana Ngarenaro kuanzia 1996-1999.<ref>https://www.jamiiforums.com/threads/wasifu-wa-ndani-mh-catherine-magige-na-nia-yake-ya-2015.290791/ </ref>. |
|||
Mwaka 2014 alikuwa mwakilishi katika bunge la Katiba <ref>https://www.jamiiforums.com/threads/wasifu-wa-ndani-mh-catherine-magige-na-nia-yake-ya-2015.290791/ </ref> |
|||
⚫ | |||
==Marejeo== |
|||
<references/> |
|||
⚫ | |||
{{BD|1981|}} |
|||
[[Jamii:Wanasiasa wa Tanzania]] |
[[Jamii:Wanasiasa wa Tanzania]] |
||
[[Jamii:Bunge la Tanzania]][[Jamii:Wanasiasa wanawake Tanzania]] |
[[Jamii:Bunge la Tanzania]][[Jamii:Wanasiasa wanawake Tanzania]] |
Pitio la 07:09, 26 Januari 2020
Catherine Valentine Magige (alizaliwa mkoani Arusha 8 Mei 1981) ni mwanasiasa Mtanzania na mwanachama wa chama cha kisiasa cha CCM. Amechaguliwa kuwa mbunge wa Viti maalum vya wanawake kwa miaka mitano (2015 – 2020 [1])
Maisha
Alipata elimu yake ya msingi katika shule ya msingi Kimandolu kuanzia 1989-1995 na elimu ya sekondari katika shule wa wasichana Ngarenaro kuanzia 1996-1999.[2].
Mwaka 2014 alikuwa mwakilishi katika bunge la Katiba [3]
Marejeo
- ↑ Tovuti ya Bunge la Tanzania, iliangaliwa Mei 2017
- ↑ https://www.jamiiforums.com/threads/wasifu-wa-ndani-mh-catherine-magige-na-nia-yake-ya-2015.290791/
- ↑ https://www.jamiiforums.com/threads/wasifu-wa-ndani-mh-catherine-magige-na-nia-yake-ya-2015.290791/
Makala hiyo kuhusu mwanasiasa wa Tanzania bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |