Siri : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
No edit summary
No edit summary
Mstari 1: Mstari 1:
'''Siri''' ni [[jambo]] lolote ambalo [[mtu]] analiona haifai kumshirikisha mtu yeyote
'''Siri''' (kutoka [[neno]] la [[Kiarabu]]) ni [[jambo]] lolote ambalo [[mtu]] analiona haifai kumshirikisha mtu yeyote yule, haijalishi ni nani.
yule, haijalishi ni nani.


Kila mmoja ana [[haki]] ya kuwa na siri zake.
Kila mmoja ana [[haki]] ya kuwa na siri zake.


Katika [[maisha]] ya [[jamii]], siri ni muhimu, kiasi kwamba ni [[wajibu]] kwa baadhi ya [[kazi]], kama vile [[ushauri]], [[uganga]], [[huduma]] za [[benki]] n.k.
Katika [[maisha]] ya [[jamii]], siri ni muhimu, kiasi kwamba ni [[wajibu]] kwa baadhi ya [[kazi]], kama vile [[ushauri]], [[uganga]], [[huduma]] za [[benki]] n.k.

Siri kali zaidi, katika [[Kanisa Katoliki]], ni ile ya [[padri]] kuhusu maungamo aliyopokea katika [[sakramenti]] ya [[kitubio]].


{{mbegu}}
{{mbegu}}
Mstari 10: Mstari 11:
[[Jamii:Saikolojia]]
[[Jamii:Saikolojia]]
[[Jamii:Maadili]]
[[Jamii:Maadili]]
[[Jamii:Mawasiliano]]

Pitio la 13:55, 13 Juni 2017

Siri (kutoka neno la Kiarabu) ni jambo lolote ambalo mtu analiona haifai kumshirikisha mtu yeyote yule, haijalishi ni nani.

Kila mmoja ana haki ya kuwa na siri zake.

Katika maisha ya jamii, siri ni muhimu, kiasi kwamba ni wajibu kwa baadhi ya kazi, kama vile ushauri, uganga, huduma za benki n.k.

Siri kali zaidi, katika Kanisa Katoliki, ni ile ya padri kuhusu maungamo aliyopokea katika sakramenti ya kitubio.