Kimondo cha Mbozi : Tofauti kati ya masahihisho

Majiranukta: 9°06′28″S 33°02′14″E / 9.10778°S 33.03722°E / -9.10778; 33.03722
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
No edit summary
No edit summary
Mstari 14: Mstari 14:


[[Jamii:Wilaya ya Mbozi]]
[[Jamii:Wilaya ya Mbozi]]
[[Jamii:Gimba la angani]]
[[Jamii:Kiolwa cha angani]]

Pitio la 15:29, 8 Juni 2017

Kimondo cha Mbozi

9°06′28″S 33°02′14″E / 9.10778°S 33.03722°E / -9.10778; 33.03722 Anwani ya kijiografia ni 9° 6'28.11"S na 33° 2'14.34"E
Kimondo cha Mbozi ni kimondo ambacho kimeanguka kutoka angani karibu na mji wa Vwawa. Kinakadiriwa kuwa na uzito wa zaidi ya tani 12, kilianguka katika kilima cha Mlenje, wilayani Mbozi katika mkoa wa Mbeya, Tanzania.

Kipo kati ya vimondo vizito 10 vinavyojulikana duniani. Kina urefu wa mita 3.3, upana wa mita 1.63 na kimo cha mita 1.22.

Kina maumbile maalum tofauti na vimondo vingine vinavyopatikana ulimwenguni kwa kuwa hiki ni hasa cha chuma. Chuma ni 90.45%, nikeli 8,69%, sulfuri 0,01% na fosfori 0,11% ya masi yake.

Viungo vya Nje