Lugha Panufu ya Matini (XML)

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mfano wa hati ya LPM.

Katika utarakilishi, Lugha Panufu ya Matini (kifupi: LPM; kwa Kiingereza: Extensible Markup Language, XML) ni lugha ya kutunga inayoeleza kanuni za kusimba waraka pepe katika umbizo jalada linalosomeka kwa binadamu na kwa tarakilishi vilevile.

Mfano ya LPM[hariri | hariri chanzo]

Programu kwa kuchapa « Jambo ulimwengu ! ».

<greeting>Jambo Ulimwengu !</greeting>

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  • Kahigi, K. K. (2007). Ujanibishaji wa Office 2003 na Windows XP kwa Kiswahili Sanifu. Kioo cha Lugha, 5(1)
Makala hii kuhusu mambo ya teknolojia bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu mada hiyo kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.