Lugha Panufu ya Matini (XML)

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mfano wa hati ya LPM.

Katika utarakilishi, Lugha Panufu ya Matini (kifupi: LPM; kwa Kiingereza: Extensible Markup Language, XML) ni lugha ya kutunga inayoeleza kanuni za kusimba waraka pepe katika umbizo jalada linalosomeka kwa binadamu na kwa tarakilishi vilevile.

Mfano ya LPM[hariri | hariri chanzo]

Programu kwa kuchapa « Jambo ulimwengu ! ».

<greeting>Jambo Ulimwengu !</greeting>

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  • Kahigi, K. K. (2007). Ujanibishaji wa Office 2003 na Windows XP kwa Kiswahili Sanifu. Kioo cha Lugha, 5(1)