Mdodoki

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
(Elekezwa kutoka Luffa)
Mdodoki (Luffa spp.)
Mdodoki-laini (Luffa cylindrica)
Mdodoki-laini
(Luffa cylindrica)
Uainishaji wa kisayansi
Himaya: Plantae (Mimea)
(bila tabaka): Angiospermae (Mimea inayotoa maua)
(bila tabaka): Eudicots (Mimea ambayo mche wao una majani mawili)
(bila tabaka): Rosids (Mimea kama mwaridi)
Oda: Cucurbitales (Mimea kama mboga)
Familia: Cucurbitaceae (Mimea iliyo na mnasaba na mboga)
Jenasi: Luffa
Mill.
Ngazi za chini

Spishi 5:

Midodoki ni mimea ya jenasi Luffa katika familia Cucurbitaceae. Matunda yao, yanayoitwa madodoki, hulika yakiwa machanga bado. Yakiwa yamekauka ndani yao kuna solo ya fumwele inayofanana na sifongo na inayotumika nchini kwingi katika bafu.

Spishi zinazokuzwa katika Afrika[hariri | hariri chanzo]

Picha[hariri | hariri chanzo]