Ludoviko askofu

Alivyochorwa na Piero Della Francesca.
Ludoviko wa Toulouse (Brignoles, Provence, Ufaransa, Februari 1274 - Toulouse 19 Agosti 1297) alikuwa mwana wa mfalme wa Napoli Charles II wa Anjou, lakini alikataa haki ya kumrithi akawa mtawa wa Ndugu Wadogo na askofu wa Kanisa Katoliki.
Alitangazwa na Papa Yohane XXII kuwa mtakatifu tarehe 7 Aprili 1317.
Sikukuu yake huadhimishwa tarehe ya kifo chake[1]
Tazama pia[hariri | hariri chanzo]
- Watakatifu wa Agano la Kale
- Orodha ya Watakatifu Wakristo
- Orodha ya Watakatifu wa Afrika
- Orodha ya Watakatifu Wafransisko
Tanbihi[hariri | hariri chanzo]
Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]
- Catholic Encyclopedia: St Louis of Toulouse
- Amelia Carr, "St Louis of Toulouse" Archived 8 Julai 2004 at the Wayback Machine.
- Patron Saints: Louis of Toulouse Archived 30 Juni 2007 at the Wayback Machine.
![]() |
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |