Liseri

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Sanamu ya Mt. Liseri inayotunza masalia yake.

Liseri (alifariki 540 hivi) alikuwa Askofu wa Couserans (Ufaransa) kwa miaka mingi na ilizuia mji huo usivamiwe na Wavisigothi[1].

Alitokea Hispania na kuwa mfuasi wa Fausto wa Riez.

Tangu kale anaheshimiwa na Kanisa Katoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 27 Agosti.[2]

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Wikimedia Commons ina media kuhusu: