Liseri

Liseri (alifariki 540 hivi) alikuwa Askofu wa Couserans (Ufaransa) kwa miaka mingi na ilizuia mji huo usivamiwe na Wavisigothi[1].
Alitokea Hispania na kuwa mfuasi wa Fausto wa Riez.
Tangu kale anaheshimiwa na Kanisa Katoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.
Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 27 Agosti.[2]
Tazama pia[hariri | hariri chanzo]
- Watakatifu wa Agano la Kale
- Orodha ya Watakatifu Wakristo
- Orodha ya Watakatifu wa Afrika
- Orodha ya Watakatifu Wafransisko
Tanbihi[hariri | hariri chanzo]
- ↑ Jacques Sirmond (1789). Conciliorum Galliae tam editorum quam ineditorum collectio, temporum ordine digesta, ab anno Christi 177 ad ann. 1563 Tomus primus (in Latin, French). Paris: P. Didot, 797.
- ↑ Martyrologium Romanum