Le Secret

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Le Secret (kwa Kiswahili Siri) ni riwaya, sehemu ya kwanza ya saga ya fasihi Hadithi ya Anna Beckinsales Marie iliyoandikwa na mwandishi wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo Amini Cishugi na iliyochapishwa mnamo Novemba 2017.

Makala hii kuhusu kitabu fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Le Secret kama Mwandishi wake, hadithi au matoleo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.