Nenda kwa yaliyomo

Lambati wa Freising

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Sanamu ya Mt. Lambati.

Lambati wa Freising (kwa Kijerumani: Lantpert; Ebersberg, Ujerumani, 895 hivi - Freising, Ujerumani, 19 Septemba 957) alikuwa askofu wa 13 wa mji huo (937-957)[1].

Tangu kale anaheshimiwa na Kanisa Katoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.

Sikukuu yake ni tarehe ya kifo chake [2].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.