Korporale

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Korporale iliyokunjuliwa.
Korporale hiyohiyo, imekunjwa.

Korporale (kwa Kiingereza: corporal) ni kitambaa aghalabu cheupe kidogo cha mraba ambacho kinatandikwa altareni juu ya vitambaa vingine vyote na ambapo juu yake huwekwa patena, kikombe na pengine sibori katika adhimisho la Misa.

Jina asili la Kilatini: corporax linatokana na neno corpus, yaani mwili, kumaanisha kwamba lengo lake ni hasa kubeba Mwili wa Kristo katika ekaristi.

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  • Atchley in St. Paul's Eccles. Soc. Transactions (1900), IV, 156-160
  • Barbier de Montault in Bulletin Monumental (1882). 583-630.
  • Barbier de Montault, Le Mobilier Ecclésiastique
  • Gihr, The Mass, tr. (Freiburg, 1902), 281-264
  • Charles Rohault de Fleury, "La Messe" (Paris, 1888), VI, 197-204; Dict. Christ. Antiq., s.v. Corporal;
  • Streber in Kirchenlexikon, III, 11O5-11O7
  • Thalhofer, Liturgik, I, 777-781
  • Van der Stappen, Sacra Liturgia (Mechlin, 1902), III, 102-110
  •  "Corporal". Encyclopædia Britannica. 7 (11th ed.). 1911. p. 189.
Makala hii kuhusu dini ya Ukristo bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Korporale kama historia yake, matokeo au athari zake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.