Kisiwa cha Rusinga

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Kisiwa cha Rusinga ni kati ya visiwa vya kaunti ya Homa Bay, magharibi mwa Kenya.

Kinapatikana katika ziwa Nyanza, la pili duniani kwa ukubwa.

Ni kata ya Eneo bunge la Mbita[1].

Jamii ya Waluo ndio imejaa, wavuvi na wakulima wamo, kwani biashara hufanywa hapa, ina kilomita 16 sawa na maili 10. Wasuba ndio walikuwa wanaishi kitambo, takribani mwaka 1954, ambapo walikuja kama wakimbizi kutoka Uganda.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]