Kimbugimbugi
Kimbugimbugi | ||||||||||||||||||
---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|
![]() Kishungi cha kimbugibugi
| ||||||||||||||||||
Uainishaji wa kisayansi | ||||||||||||||||||
|
Kimbugimbugi (kutoka “mbugi”: kengele ndogo) au mkandi (Dactyloctenium aegyptium) ni spishi ya nyasi katika nusufamilia Chloridoideae. Asili ya nyasi hili ni Afrika lakini sasa imewasilishwa au imesamba katika mabara mengine. Linaweza kuwa gugu shambani lakini ni malisho mazuri kwa wanyama wafugwao. Punje zake zinaweza kutumiwa ili kulisha kuku na huliwa na watu pia wakati wa uhaba wa chakula. Vilevile hutumika kwa kutengeneza pombe ya kienyeji.
Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]
- Taarifa kutoka Feedipedia
- Taarifa kutoka PROTA Archived 5 Machi 2016 at the Wayback Machine.