Mwiluti

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
(Elekezwa kutoka Kiburabura)
Mwiluti
(Prunus africana)
Mwiluti mchanga
Mwiluti mchanga
Uainishaji wa kisayansi
Himaya: Plantae (Mimea)
(bila tabaka): Angiospermae (Mimea inayotoa maua)
(bila tabaka): Eudicots (Mimea ambayo mche wao una majani mawili)
(bila tabaka): Rosids (Mimea kama mwaridi)
Oda: Rosales (Mimea kama mwaridi)
Familia: Rosaceae (Mimea iliyo na mnasaba na mwaridi)
Jenasi: Prunus
L.
Spishi: P. africana
(Hook.f.) Kalkman

Mwiluti, kiburabura, mkomahoya (kutoka Kisambala) au mueri (kutoka Kigikuyu: mũiri; kwa lugha ya kisayansi: Prunus africana) ni mti mkubwa kiasi wa familia Rosaceae. Hutokea milimani kwa Afrika kusini kwa Sahara. Gome lake hutumika kwa kutibu ongezeko la tezi kibofu.

Picha[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu mmea fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mwiluti kama uainishaji wake wa kibiolojia, uenezi au matumizi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.