Kiboriloni
Kiboriloni ni kata ya Moshi Mjini katika Mkoa wa Kilimanjaro, Tanzania yenye postikodi namba 25113[1].
Wakati wa sensa iliyofanyika mwaka wa 2012, kata ilikuwa na wakazi wapatao 9,206 [2] walioishi humo. Wananchi wa kata hii wanajishughulisha na biashara ndogondogo kama uuzaji wa mbogamboga na matunda na pia wanajishughulisha na zao la ndizi. Makabila yafuatayo yanapatikana katika kata hiyo: Wachagga, Wapare, na mengineo mengi.
Ndani ya kata hii ya Kiboriloni kuna ikulu ndogo ambayo Rais huwa anaitumia kwa ajili ya mapumziko akiwa na ziara katika Mkoa wa Kilimanjaro.
Marejeo[hariri | hariri chanzo]
- ↑ https://www.tcra.go.tz/images/documents/postcode[dead link]
- ↑ Sensa ya 2012, Kilimanjaro - Moshi MC. Jalada kutoka ya awali juu ya 2004-01-02. Iliwekwa mnamo 2016-05-23.
![]() |
Kata za Wilaya ya Moshi Mjini - Mkoa wa Kilimanjaro - Tanzania | ![]() |
---|---|---|
Boma Mbuzi | Bondeni | Kaloleni | Karanga | Kiboriloni | Kilimanjaro | Kiusa | Korongoni | Longuo B | Majengo | Mawenzi | Mfumuni | Miembeni | Mji Mpya | Msaranga | Ng'ambo | Njoro | Pasua | Rau | Shirimatunda | Soweto |
![]() |
Makala hii kuhusu maeneo ya Mkoa wa Kilimanjaro bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Kiboriloni kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
|