Kibonyezo cha kudhibiti
Katika utarakilishi, Kibonyezo cha kudhibiti au kibonyezo kudhibiti (kwa Kiingereza: control key) ni kibonyezo cha baobonye la tarakilishi kinachotumiwa ili ibadili shughuli ya vibonyezo vingine (kwa mfano kudhibiti+C ili tarakilishi inakili nakala).
Marejeo[hariri | hariri chanzo]
- Petzell, M. (2005). Expanding the Swahili vocabulary. Africa & Asia, 5, 85-107.