Kibonyezo cha kudhibiti

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Kibonyezo cha kudhibiti (kushoto).

Katika utarakilishi, Kibonyezo cha kudhibiti au kibonyezo kidhibiti (kwa Kiingereza: control key) ni kibonyezo cha baobonye la tarakilishi kinachotumiwa ili ibadili shughuli ya vibonyezo vingine (kwa mfano kudhibiti+C ili tarakilishi inakili nakala).

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  • Petzell, M. (2005). Expanding the Swahili vocabulary. Africa & Asia, 5, 85-107.
Makala hii kuhusu mambo ya teknolojia bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu mada hiyo kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.