Kibonyezo

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Vibonyezo vya baobonye.

Katika utarakilishi, kibonyezo (kwa Kiingereza: key) ni mtambo wa badili kinachotumiwa ili kudhibiti tarakilishi au mashine.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  • Petzell, M. (2005). Expanding the Swahili vocabulary. Africa & Asia, 5, 85-107.