Kasuku Samson Bilago
Mandhari
Kasuku Samson Bilago (2 Februari 1964 - 26 Mei 2018) alikuwa mwanasiasa Mtanzania na mwanachama wa Chama cha kisiasa cha Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA). Alichaguliwa kuwa mbunge wa Buyungu (wilaya ya Kakonko mkoani Kigoma) kwa mwaka 2015 – 2020 lakini hakuweza kumaliza muda wake kutokana na kifo.
Marejeo
[hariri | hariri chanzo]| Makala hii kuhusu kuhusu mwanasiasa wa Tanzania bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Kasuku Samson Bilago kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |