Nenda kwa yaliyomo

Kasuku Samson Bilago

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Kasuku Samson Bilago (2 Februari 1964 - 26 Mei 2018) alikuwa mwanasiasa Mtanzania na mwanachama wa Chama cha kisiasa cha Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA). Alichaguliwa kuwa mbunge wa Buyungu (wilaya ya Kakonko mkoani Kigoma) kwa mwaka 20152020 lakini hakuweza kumaliza muda wake kutokana na kifo.

    Makala hii kuhusu kuhusu mwanasiasa wa Tanzania bado ni mbegu.
    Je, unajua kitu kuhusu Kasuku Samson Bilago kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
    Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
    Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.