Kastrisiani

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Sanamu ya Mt. Kastrisiani.

Kastrisiani (alifariki karne ya 3) alikuwa askofu wa tatu wa Milano, Italia Kaskazini katikati ya karne ya 3[1].

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 1 Desemba[2].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  • Cazzani, Eugenio (1996). Vescovi e arcivescovi di Milano. Milano: Massimo. uk. 11. ISBN 88-7030-891-X. (Kiitalia)
  • Ruggeri, Fausto (1991). I Vescovi di Milano. Milano: NED. uk. 7–8. ISBN 88-7023-154-2. (Kiitalia)
  • Pasini, Cesare (1988). "Castriziano di Milano, santo (sec. IV)". Dizionario della Chiesa Ambrosiana. 2. Milano: NED. p. 764–765. ISBN 88-7023-102-X
      .(Kiitalia)
Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.