Kastrese

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Sanamu yake.

Kastrese (alifariki Castel Volturno au Sessa Aurunca, leo katika wilaya ya Caserta, Italia, karne ya 5) alikuwa askofu wa Afrika Kaskazini ambaye alikimbia dhuluma za Wavandali Waario akahamia Italia Kusini[1].

Tangu kale anaheshimiwa kama mtakatifu mfiadini.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 11 Februari[2].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.