Karisima

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Karisima (kwa Kifaransa: Carissime, Carême, Chresme; alifariki karne ya 7 hivi) alikuwa bikira Mkristo wa Ufaransa aliyeishi kama mkaapweke[1].

Tangu kale anaheshimiwa kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 7 Septemba[2].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  • Bunson, Matthew; Bunson, Margaret; Bunson, Stephen. «Carissima». A: Our Sunday Visitor's Encyclopedia of Saints (en anglès). Huntington: Our Sunday Visitor, 2003, p. 191. ISBN 9781931709750.
  • Wasselynck, René. «Santa Carissima di Albi». A: Enciclopedia dei Santi, 2013. ISBN 9788831193474.
  • Watkins, Basil. The Book of Saints: A Comprehensive Biographical Dictionary. 8. Londres: Bloomsbury Publishing, 2015. ISBN 9780567664150.
Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.