Karilefi

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Karilefi (pia: Calais, Kalès, Carileph, Carilefus, Calevisus; 500 hivi - 541 hivi) alikuwa mkaapweke karibu na Le Mans, leo nchini Ufaransa[1].

Tangu kale ameheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.

Sikukuu yake ni tarehe 1 Julai[2].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.