Nenda kwa yaliyomo

Joe Biden

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Joe Biden

Aliingia ofisini 
Januari 20, 2021 (2021-01-20)
Makamu wa Rais Kamala Harris
mtangulizi Donald Trump

Muda wa Utawala
Januari 3, 1973 (1973-01-03) – Januari 15, 2009 (2009-01-15)
mtangulizi J. Caleb Boggs
aliyemfuata Ted Kaufman

tarehe ya kuzaliwa Novemba 20 1942 (1942-11-20) (umri 81)
Scranton, Pennsylvania, Marekani
utaifa Marekani
chama Democratic
ndoa Jill Biden
watoto Beau Biden (b. 1969)
Hunter Biden (b. 1970)
Naomi "Amy" Biden (b. 1971)
Ashley Biden (b. 1981)
signature Joe Biden
tovuti Joe Biden

Joseph Robinette "Joe" Biden Jr. (amezaliwa 20 Novemba 1942) ni mwanasiasa wa Marekani.

Kuanzia mwaka wa 1973 hadi 2009 alikuwa mbunge wa Senati ya Marekani akiwakilisha jimbo la Delaware. Halafu alikuwa Makamu wa Rais wa Marekani chini ya Rais Barack Obama kuanzia mwaka wa 2009 hadi 2017, akiwa Mkatoliki wa kwanza na pia Mdelaware wa kwanza kuwa Kaimu Rais.

Kampeni ya uraisi ya Joe Biden 2020

Mnamo 25 Aprili 2019, Biden alitoa video akitangaza kugombea kwake kwenye mchujo wa nafasi ya Rais wa Marekani mwaka 2020.[1] Mnamo 30 Novemba 2020, Biden na mgombea mwenza wake, Kamala Harris, waliwashinda rais wa chama cha Republican aliye madarakani, Donald Trump, na makamu wa rais Mike Pence katika uchaguzi mkuu[2].

Tazama pia

Marejeo

Makala hii kuhusu mwanasiasa fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Joe Biden kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.