Juni Eric-Udorie

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Juni katikati ya viongozi wenzake mwaka 2014.

Juni Eric-Udorie (alizaliwa Juni 18 1998) ni mwandishi na mwanaharakati wa wanawake kutokea Ufalme wa Muungano. Yeye ni mwandishi wa habari na mwanablogu wa The Guardian na New Statesman na pia Cosmopolitan.[1][2][3]

Mnamo mwaka wa 2016, BBC ilimjumuisha katika orodha ya Wanawake 100 kwa "wanawake wenye ushawishi mkubwa mwaka 2016.[4].

Maisha[hariri | hariri chanzo]

Ingawa ana asili ya Nigeria, Eric-Udorie alizaliwa Ireland na anaishi na kufanya kazi nchini Uingereza ambapo alihamia akiwa na umri wa miaka 10. Alisoma Downe House School huko Thatcham Berkshire.[5].

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. "June Eric Udorie". The Guardian. Iliwekwa mnamo 21 November 2016.  Check date values in: |accessdate= (help)
  2. "Writers". New Statesman. Iliwekwa mnamo 21 November 2016.  Check date values in: |accessdate= (help)
  3. "June Eric Udorie – Fashion, Hair & Beauty, Sex and Relationships :: Cosmopolitan UK". Cosmopolitan. Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2016-11-22. Iliwekwa mnamo 21 November 2016.  Check date values in: |accessdate= (help)
  4. "BBC 100 Women 2016: Who's on the list". BBC. 21 November 2016.  Check date values in: |date= (help)
  5. "Cloister School Magazine". Downehouse. 2015. Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2017-05-19. Iliwekwa mnamo 22 November 2016.  Check date values in: |accessdate= (help)
Makala hii kuhusu mwandishi fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Juni Eric-Udorie kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.