Joja wa Clermont

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Joja wa Clermont (alifariki Clermont-Ferrand, Akwitania, leo nchini Ufaransa, karne ya 6) alikuwa bikira wa mji huo aliyeishi kama mkaapweke hadi kifo chake[1].

Sifa zake ziliandikwa na Gregori wa Tours aliyeishi miaka katika eneo hilo[2].

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 15 Februari[3].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

  1. http://www.santiebeati.it/dettaglio/91386
  2. De Gloria confessorum, XXXIV
  3. Martyrologium Romanum

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.