Jay Moe
Jay Moe | |
---|---|
Jay Moe
| |
Maelezo ya awali | |
Jina la kuzaliwa | Juma Mohamed Mchopanga |
Pia anajulikana kama | Mo Skills Superman Mo Genius Mr. Mchopange |
Amezaliwa | 27 Novemba 1978 |
Aina ya muziki | Hip hop |
Kazi yake | Mwimbaji |
Miaka ya kazi | 1998-hadi leo |
Studio | Bongo Records Kama Kawa Records |
Ame/Wameshirikiana na | TID Imam Abbas P Funk Dknob Mchizi Mox Solo Thang Jahfarai Lord Eyez |
Juma Mohamed Mchopanga (amezaliwa tar. 27 Novemba 1978) ni rapa wa muziki wa hip hop kutoka nchini Tanzania. Anafahamika zaidi kwa jina lake la kisanii kama Jay Moe. Pia anajulikana kwa vibao vyake mashuhuri kama vile Bishoo, Jua na Mvua, Kama Unataka Demu, Maisha ya Boding, Stori Tatu Tofauti, na Sihitaji aliyofanya na Lord Eyez wa Nako 2 Nako. Jay Moe ni mmoja kati ya waanzilishi wa kundi la muziki wa hip hop na rap maarufu kama Wateule. Pia anafahamika zaidi kwa kuimba maneno magumu na yenye vina vitata, sana-sana ni yeye na Fid Q.
Wasifu
Maisha ya awali
Muziki
Marejeo
Viungo vya nje
Makala hii kuhusu mwanamuziki fulani wa Afrika bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Jay Moe kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |