Bongo Records
Jump to navigation
Jump to search
Bongo Records | |
---|---|
Imeanzishwa | 1995 |
Mwanzilishi | P Funk Majani |
Ilivyo sasa | Bado inafanya kazi |
Aina za muziki | Hip hop Bongo Flava Dansi |
Nchi | Tanzania |
Mahala | Kinondoni, Dar es Salaam |
Bongo Records ni studio ya kurekodia muziki kutoka nchini Tanzania. Studio inamilikiwa na mtayarishaji wa muziki wa hip hop na bongo flava P Funk Majani. Studio ilianzishwa mnamo mwaka wa 1995 ikiwa na baadhi ya wasanii wachache.
Pindi ilipoanzishwa haikuwa na umaarufu sana kutokana na mandhari ya muziki unaopigwa huko ulikuwa tofauti kidogo mazoea ya Kitanzania. Taratibu ilianza kupata heshima na hata kujulikana zaidi katika jiji la Dar na kunako miaka ya 2000 studio ilivuma na kuthubutu kuzishinda hata studio zingine zilizopo katika mji huo.
Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]
![]() |
Makala hii kuhusu mambo ya muziki bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Bongo Records kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |